Maelezo

Mchango wa Milioni 50 Kukamilisha Kituo cha Afya
Tulifanya mchango wa TZS milioni 50 ili kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya, jambo ambalo limeleta huduma muhimu karibu na wananchi na kupunguza safari za kutafuta matibabu mbali.
Taarifa
- Kategori Afya
- Barua Pepe info@nyansahofoundation.or.tz
- Anuani Dar es Salaam, Tanzania
- Unapenda Kujitolea? Jisajili Hapa
- Unapenda Ushirikiano? Jiunge Sasa
- Wasiliana Nasi