Details

Mchango wa Milioni 50 Kukamilisha Kituo cha Afya
Tulifanya mchango wa TZS milioni 50 ili kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya, jambo ambalo limeleta huduma muhimu karibu na wananchi na kupunguza safari za kutafuta matibabu mbali.
Information
- Category Afya
- Email info@nyansahofoundation.or.tz
- Address Dar es salaam, Tanzania
- Interested In Volunteering? Register Here
- Interested In Partnership? Join Now
- Contact Us