Maelezo

Msaada kwa Wazee na Watu Wenye Ulemavu
Tunaunga mkono wazee na watu wenye ulemavu kwa kuwapatia misaada maalum kama chakula, vifaa vya usafiri (wheelchair, fimbo n.k.), na mahitaji ya kitabibu – tukihakikisha kuwa hakuna anayebaki nyuma katika maendeleo ya jamii.
Taarifa
- Kategori Kutokomeza-Umasikini
- Barua Pepe info@nyansahofoundation.or.tz
- Anuani Dar es Salaam, Tanzania
- Unapenda Kujitolea? Jisajili Hapa
- Unapenda Ushirikiano? Jiunge Sasa
- Wasiliana Nasi