Details

image of a charity work done by Nyansaho Foundation named Ujenzi wa Bweni la Wanafunzi na Mchango kwa Kituo cha Afya

Ujenzi wa Bweni la Wanafunzi na Mchango kwa Kituo cha Afya

Ili kuboresha upatikanaji wa elimu na huduma za afya, tulijenga bweni kwa wanafunzi wanaotoka maeneo ya mbali na kutoa mchango wa kifedha katika kuboresha kituo cha afya kilicho jirani – kuhakikisha elimu na afya vinakwenda pamoja.

Information

  • Category Elimu
  • Email info@nyansahofoundation.or.tz
  • Address Dar es salaam, Tanzania
  • Interested In Volunteering? Register Here
  • Interested In Partnership? Join Now
  • Contact Us